Tunakuabudu

Ruth Wamuyu

Ruth Wamuyu - Tunakuabudu


Tunakuabudu Bwana, Kwa fadhili zako,
Uketie juu Sana, Uhimidiwe daima.
Tunakuabudu Bwana, Kwa fadhili zako,
Uketie juu Sana, Uhimidiwe daima

Watawala kwa uwezo, Unafanya miujiza
Watawala kwa uwezo, Unafanya miujiza

Tunakuabudu Bwana, Kwa fadhili zako,
Uketie juu Sana, Uhimidiwe daima
Tunakuabudu Bwana, Kwa fadhili zako,
Uketie juu Sana, Uhimidiwe daima

Nakuinua Mfalme, Mtakatifu Ni wewe tu,
Nakuinua Mfalme, Mtakatifu Ni wewe tu.

Tunakuabudu Bwana, Kwa fadhili zako,
Uketie juu Sana, Uhimidiwe daima.
Tunakuabudu Bwana, Kwa fadhili zako,
Uketie juu Sana, Uhimidiwe daima.

Mkono wako waokoa, mkono wako waponya,
Mkono wako waokoa, mkono wako waponya.

Tunakuabudu Bwana, Kwa fadhili zako,
Uketie juu Sana, Uhimidiwe daima.
Tunakuabudu Bwana, Kwa fadhili zako,
Uketie juu Sana, Uhimidiwe daima.

Mkono wako wainua, mkono wako waweza,
Mkono wako wainua, mkono wako waweza.

Tunakuabudu Bwana, Kwa fadhili zako,
Uketie juu Sana, Uhimidiwe daima.
Tunakuabudu Bwana, Kwa fadhili zako,
Uketie juu Sana, Uhimidiwe daima.


Lyrics by:
Gideon Kimani (GidKim Melodies)

Lyrics Submitted by GidKim Melodies

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/