Upendo Agape

Kilimanjaro Revival Choir

Ndugu yangu unatazama wapi wewe
Inua macho yako kwa Bwana
Hizi nazo ndugu ni siku gani wewe
Hizi nazo ni siku za mwisho
Kama ni dunia kuharibika-a
Imeharibika kweli x2

Tazama vitendo viovu ndugu vimekidhi kweli
Uvutanji bangi,madawa ya kulevia ndizo zimezindi vijana
Ajabu hata akina mama nao wahusika huzuni x2

Ajabu moja ni hii
Katika vitendo viovu vya ubakaji
Hata watoto wandogo wanahusishwa
Ilivyo kuwa Sodoma na Gomora
Hata na leo ndivyo ilivyo sasa x2

Ndugu yangu
Kama u miongoni mwao
Njoo kwa Yesu
Uokolewe x3

Lyrics Submitted by Treza Solomon

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/