Nani Kama Wewe

Ruth Wamuyu

Nani kama wewe bwana ( Nani kama wewe)*4
Ooh wote tunasema (hakuna kama wewe, bwana wa mabwana)
Tunasema
(hakuna kama wewe bwana wa mabwana)
Mwanzilishi wa Imani yangu bwana(Nani kama wewe)
Kimbiliyo wakati wa shida
Alpha na omega ni wewe
Uliyegharamia wokovu wangu bwana
Tunasema
Hakutakuwa mwingine(hakuna kama wewe, bwana wa mabwana)
Mungu Imani yeetu
Ngome imara
Tunakutegemea
Tegemeo LA wasiojiweza

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/