Pwani Yenye Dhahabu

Amkeni Fukeni Choir

Pwani yenye dhahabu safi (sana)
Ambayo yapaka kioo
Bwana amewatengenezea (wote)
Ambao watavumilia x2

Pwani yake ni safi kiroho kiroho safi
Nisafi safi sana kiroho kiroho safi x2

Tutaimba wimbo wimbo wa Musa (wote)
Na wimbo wa mwana kondoo
Tutaimba kwa shange kubwa (kweli)
Musa na BWana Wa majeshi x2

Pwani yake ni safi kiroho kiroho safi
Nisafi safi sana kiroho kiroho safi x2

Kutakua hakuna njaa (huko)
Kwani Bwana atawashibisha
Kutakua hakuna Giza (kwani)
Nuru ya Kristo itang'aa

Lyrics Submitted by Emmanuel Kabushi

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/