Asubuhi Imepita

Apostle Elisha Muliri

Asubuhi imepita, usiku umeingia eeh
Utukufu wa bwana unatawala duniaaah
Waniuliza wapi mungu wakoooh
Mungu wangu anakaa ndani ya sifa utukuzwe mungu eeeh

CHORUS
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe


Oh tangu nimpokea Yesu, kiu ya dhambi ikaisha
Nikanywa maji ya uzima akamaliza kiu yangu weeh
Nikaacha kutangatanga uko na uko wowoo
Nikapata mpenzi wa moyo akamaliza kiu yangu weeh

CHORUS
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe


Nikisoma bibilia ninaona Aanna eeh
Ule alikua tasa ukampa Samueli eeh
Wewe ni mungu wa watoto unapeana watoto wowoo
Patia wanaokosa wakutuze babaaa

CHORUS
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe


Waniuliza wapi mungu wakoooh
Anakaa ndani ya sifa anastahili sifa eeeh
Mwanaume wa sifaa harudi nyumaaa
Mtafute wakati wote utamupata utukuzwe baba eeh

CHORUS
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe


Kama isingelikua wewee, ningekua wanani mi eeh
Shetani alikua amenindoa, ukanikomboa Rabiii
Mwanaume wa siku, usiyetamani rushwaaa
Acha ukainuliwe na mataifa yote tunakushukuru baba

CHORUS
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
(Hakuna kama wewe baba)
Eeeh Yahwe,eeh Yahwe utukuzwe
(Sina mwingine kama wewe baba)
Eeh Yahwe,eeh Yahwe utukuzwe
(Anaye pigana vita vyangu baba) eeh Yahwe utukuzwe
Eeh Yahwe,eeh Yahwe utukuzwe


Batrimayo kipofu alikua hawezi kuonaaa
Alipokutana naye akaanza kuonaaa
Mwanaume wa nguvu anafungua macho ya vipofu
Anapo kutana nao, wote wanaonaaa usifiwe mungu eeeh

CHORUS
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe
Eeeh Yahwe, eeh Yahwe utukuzwe


Eeeh Yahwe
Utukuzwe Mungu wangu utukuzwee
Eeeh Yahwe
Utukuzwe Mungu wangu utukuzwee
Uliyejuu ya mbingu babaaa
Utukuzwe Mungu wangu utukuzwee
Tunakuabudu Yesu eeh ooh
Utukuzwe Mungu wangu utukuzwee

Oooh Yesu eeh Oooh Yesu eeh
Oooh Yahwe eeh Oooh Yesu eeh
Taifa lako linalia Yesu eeh
Shuka utembee
Oooh baba eeh
Utukuzwe Mungu wangu utukuzwee
Oooh baba eeh
Utukuzwe Mungu wangu utukuzwee
Wajane wanalia Yesu eeh shuka utembee
Utukuzwe Mungu wangu utukuzwee
Yesu wanao wanalia Ooh baba eeh
Utukuzwe Mungu wangu utukuzwee
Ooh Yahweh Ooh Yesu eeh
Utukuzwe Mungu wangu utukuzwee

Tunalia Yesu eeh Ooh Yesu eeh
Tunalia Yesu eeh Ooh Yesu eeh
Shuka utembee baba eeh
Shuka utembee Yesu eeh
Ooh baba eeh Ooh Yahwe
Yahwe eeh Yahwe eeh
Yahwe eeh Yahwe Yahwe eeh
Yahwe eeh utukuzwe baba eeh
Yahwe eeh utukuzwe babaaa
Baba baba baba

Lyrics Submitted by Musime

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/