1.Kando ya mto ndipo tulipo keti
Tukikumbuka nyumbani Yerusalemi
Tukasikia amri ikitolewa kwetu
Tuimbe ,wimbo wa Bwana nchi ya ugenini
CHORUS
Tungewezaje kuimba wimbo wa Bwana huko
Tukitetea imani uko ugenini
(Na leo-Bass) wanatafutwa watakao tetea (ooh tetea)
Imani ulimwenguni wakimukiri Bwana
2.Kama mitume wengi walisimama
Wakitetea imani hata mauti
Wakisema wazi wazi heri Kufa na Yesu (ooh Yesu-tenor)
Kuliko raha kitambo wewe wasemaje
Lyrics Submitted by Ruth Omwanza
Lyrics provided by https://damnlyrics.com/