Mungu Amenihurumia

Godwin Ombeni & Ruach Worship Team

Mungu amenihurumia
Tendo hili kubwa sana
Sikustahili jambo hili
Nimelipata bure tu

Sasa najua haya yote ×2
Nasifu huruma yake ×2

Nalistahili kupotea
Lakini nahurumiwa
Mungu amenipatanisha
Na yeye Kwa yesu kristo

Hivi vyote vyatoka wapi ×2
Nasema ni huruma tu ×2

Jambo hili lenye huruma
Nitalisifu daima
Nalihubiri siku zote
Nikiulizwa na watu

Ndiyo furaha yangu kubwa ×2

Naiongojea nikifa
Naiongojea nikifa
Naiongojea nikifa
Naiongojea nikifa

Lyrics Submitted by Justin james

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/