Fataki

Offside Trick

Acha mtoto aende zake shuleni
Fataki nakuona wewe
Fataki,ooh,Fataki
Muache mtoto aende zake shuleni
Fataki nakuona wewe
Fataki,ooh,Fataki

Maneno maneno na ofa zako wewe
Fataki zinawabaki wewe
Fataki,ooh,Fataki

1. Jana kaja na chipsi kuku
Leo tena simu na mabuku
Jana kaja na chipsi kuku
Leo tena simu na mabuku
Umevitoa wapi hivi vitu tuvijue
Na kama ni fataki twambie tutambue
Umevitoa wapi hivi vitu tuvijue
Na kama ni fataki twambie tutambue

Ofa za fataki wee mtoto zitakuharibu
Utapata tatizo na wazazi utawapa aibu
Ofa za fataki wee mtoto zitakuharibu
Utapata maradhi na mwishowe tushindwe kuyatibu

Fataki ooh,fataki
Fataki acha tabia mbaya ya kutuharibia
Fataki,ooh,fataki
Fataki,wanafunzi na nyinyi muache tamaa pia

Lyrics Submitted by gladys

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/