Kijito Cha Utakaso

Godwin Ombeni

Kijito cha utakazo ni damu ya yesu
Bwana ana uwezo kunipa wokovu

Kijito cha utakazo nizame kuoshwa humo
Namsifu Bwana kwa hiyo nimepata utakazo

Viumbe vipya naona damu ina nguvu
Imeharibu uovu uliodhulumu

Naongoka kutembea nuruni mwa Bingu
Na moyo safi kabisa kupendeza mungu

Ni nehema ya ajabu kupakwa na damu
Na Bwana yesu kumjua yesu wa msalaba

Lyrics Submitted by DUKE NYAMWEYA

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/