Arise

Raha

Neno la Mungu limekuja kwetu
Nalimekuja kutuamuru
Amini Amini uwe hurur
upokee kilicho chako
uchukue nafasi yako

Inuka angaza
Nuru imekuja
utukufu wa Bwana umezuka
Inuka angaza
Nuru imekuja
utukufu wa Bwana umezuka
Inuka angaza
Nuru imekuja
utukufu wa Bwana umezuka
Inuka angaza
Nuru imekuja
utukufu wa Bwana umezuka

Nyakati za kale zimepita
na muda mpya umewadia
simama sasa uwe imara
upokee kilicho chako
uchukue nafasi yako

Inuka angaza
Nuru imekuja
utukufu wa Bwana umezuka
Inuka angaza
Nuru imekuja
utukufu wa Bwana umezuka
Inuka angaza
Nuru imekuja
utukufu wa Bwana umezuka

Jiweke macho uwe tayari
wakati wako wa kurithi
inuka sasa na uangaze
upokee kilicho chako
uchukue nafasi yako

Inuka angaza
Nuru imekuja
utukufu wa Bwana umezuka
Inuka angaza
Nuru imekuja
utukufu wa Bwana umezuka
Inuka angaza
Nuru imekuja
utukufu wa Bwana umezuka

Arise and shine
your light has come
and the glory of the Lord is risen upon you

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/