Ni Salama Rohoni

Nuru Kitambo

Nionapo amani kama shwari au nionapo shida ,nitajipa moyo Kwani n salama rohoni mwangu

Salama rohoni ni salama rohoni mwangu

Ingawa shetani atanitesa,nitajipa moyo kwani kristu ameuona unyonge wangu,amekufa kwa ajiri yangu

Dhambi zangu zote Wala si nusu ,zimewekwa msalabani,Wala sijukui rahana yake,ni salama rohoni


E bwana imiza siku ya kuja,panda itakapolia , utakaposhuka sitaogopa,ni salama rohoni

Lyrics Submitted by Omariba sheba

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/