Mwanzo Na Mwisho

Kanjii Mbugua

Nilidhani nitaangamia tabu zilinizidi
Katika masononeko nikamlilia Bwana
Kwani ngome tumaini ni mwamba wa wokovu
Nitamuinua
Nitamsifu
Ndiye mwokozi
Ni Alpha na Omega
Jina lako ni Jehovah, Jehovah, Jehovah
Wewe ndiwe Bwana Bwana Bwana
Tunakupa mamlaka mamlaka
Mamlaka
Milele
Nitamuinua
Nitamsifu
Ndiye mwokozi
Ni Alpha na Omega
Jina lako ni Jehovah, Jehovah, Jehovah
Wewe ndiwe Bwana Bwana Bwana
Tunakupa mamlaka mamlaka
Mamlaka
Milele
Ndiye Mwanzo na Mwisho
Mungu wa Israeli
Ndiye Mwanzo na Mwisho
Jina lake Jehovah

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/