Masumbuko Mengi

Choir Amkeni Fukeni Moshi

Masumbuko mengi hapa duniani
Niponye(Niponye) Mwokozi(Mwokozi)
Niponye Mwana wa Mungu

Magonjwa na Dhambi Zimeniandama sana Mimi
Mawimbi ni Mengi Yako mbele yangu (Mungu Baba)
Naona uchungu mwingi, nasononeka sana
Nishike Mkono Bwana, nifike hko Mbinguni

Napenda kuona bandari ya Salama,
ya hko Binguni isiyo na masumbuko

Magonjwa na Dhambi Zimeniandama sana Mimi
Mawimbi ni Mengi Yako mbele yangu (Mungu Baba)
Naona uchungu mwingi, nasononeka sana
Nishike Mkono Bwana, nifike hko Mbinguni

Nikifika hko Binguni Kwa Baba
watnipokea kwa nyimbo na shangwe kubwa

Magonjwa na Dhambi Zimeniandama sana Mimi
Mawimbi ni Mengi Yako mbele yangu (Mungu Baba)
Naona uchungu mwingi, nasononeka sana
Nishike Mkono Bwana, nifike hko Mbinguni

Lyrics Submitted by Edwin .Muliro

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/