Inuka

Ruth Wamuyu

Inuka msifu bwana
Inuka msifu bwana
Kwa maana fadhili zake.
za dumu ata milele ×2


Alituumba tumtukuze
Tumbambe sifa mwema
Hakuna mungu kama yeye
Inuka msifu Bwana.

Tunapo msifu anainuka
Anatenda mambo ya ajabu
Sifa zetu kama manukato
Inuka umsifu Bwana.

Akufunikaye na bawa yake
Akuondolea misiba yako
Afanyaye nderemo za shangwe
Zisikike nyumbani mwako.

Lyrics Submitted by Duncan Mugah

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/