nishike Mkono

Fanuel Sedekia

Verse 1
Safari ya Imani,nakutazama Yesu
Nataka,nifike, ng'ambo salama
Lakini,njiani mawimbi Ni mengii
Mashaka yanisonga kuniangamiza ohohooo.
Chorus
Nishike mkono nisizame,
Mawimbi Ni mengi, niokoe.*2
Verse 2
Mawimbi Ni makali,nahitaji msaada
Nishike mwokozi niwe salama
Wewe uliyeniita nakuja kwa neno lako
Napata kutembea kwa neno lako ohohohoo
Repeat chorus
Safari ya imani,natembea kwa Imani
Dhambi isinishinde nisaidie
Katika majaribu makali Kama Moto
Najua nitatoka Kama dhahabu.
Repeat chorus
Repeat chorus

Lyrics Submitted by Elly John ndelle

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/