Mlianza Na Roho

Ben Githae

Mlianza na roho,
Mlianza na roho,
Mmemalizia na mwili kwa nini,
Mlianza na roho,
Mlianza na roho,
Mmemalizia na mwili kwa nini

Alisema na Wagalitia,
Na siku ya leo roho anasema,
Mlianza, mlianza na roho,
Mmemalizia na mwili kwa nini

Mlianza na roho,
Mlianza na roho,
Mmemalizia na mwili kwa nini,
Mlianza na roho,
Mlianza na roho,
Mmemalizia na mwili kwa nini

Alisema na Waefeso,
Na siku ya leo roho anasema,
Mliacha upendo wa kwanza,
Tubuni dhambi mtasamehewa

Mlianza na roho,
Mlianza na roho,
Mmemalizia na mwili kwa nini
Mlianza na roho,
Mlianza na roho,
Mmemalizia na mwili kwa nini

Anasema, enyi sio moto,
Na sio baridi,
Nyinyi vuguvugu
Mtatupwa, atawatapika,
Tubuni leo, roho anasema

Mlianza na roho,
Mlianza na roho,
Mmemalizia na mwili kwa nini
Mlianza na roho,
Mlianza na roho,
Mmemalizia na mwili kwa nini

Kuomba, kufunga chakula,
Kuenda ushirika, zote muliacha
Wachungaji, munawasengenya,
Viongozi wenu, munawadharau

Mlianza na roho
Mlianza na roho
Mmemalizia na mwili kwa nini
Mlianza na roho
Mlianza na roho
Mmemalizia na mwili kwa nini

Hampendi, ukweli wa neno,
Mwapenda maneno, yanayo wapendeza
Mazao ya roho ni roho,
Mukipenda ya mwili, mtavuna laana

Mlianza na roho,
Mlianza na roho,
Mmemalizia na mwili kwa nini,
Mlianza na roho,
Mlianza na roho,
Mmemalizia na mwili kwa nini

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/