Njooni Muniabudu

Pst Alex & Mary Atieno Ominde

NJOONI MUNIABUDU(PATOR ALEX MARY ATIENO

Nawapenda na upendo wa milele,damu yangu imewanunu ..x2
Nimewaumba ili mnitumikie, mnipeneze na mnitukuze siku zote

Njooni muniabudu, njooni munijaribu
Watu wangu mtapata baraka,
Nitafungua madirisha ya mbinguni
Njooni muniabudu, njooni munijaribu
Njooni musikawie.

Mukiniabudu kwa roho na kweli, nitatembea pamoja nanyi
Nitashiriki pamoja nanyi, nitawajaza na roho wangu
Nitawapa uhuru na amani, nitamwaga uvuvio katitka nchi yenu.

(chorus)
Mkinibariki na fungu la kumi, nitarudisha baraka zenu
Nitafungua madirish ya mbinguni
Nitwainua juu ya mataifa, nitajibu maombi yenu
Nitaiponya nchi yenu na kanisa langu.

(chorus)

Lyrics Submitted by Andy-shahidy

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/