Amini Nakwambia

Angela Chibalonza

Amini Amini nakwambia
Amini amini ujumbe mpya
Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Amini Amini nakwambia
Amini amini ujumbe mpya
Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima


Ni Mwokozi aliyenifia,nitoke dhambini alisema
Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Amini Amini nakwambia
Amini amini ujumbe mpya
Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima


Amini Amini nakwambia
Amini amini ujumbe mpya
Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Dhambi zangu zilichukuliwa,deni zangu zote zililipwa
Wote waliomwamini Mwana,wanao uzima

Amini Amini nakwambia
Amini amini ujumbe mpya
Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Amini Amini nakwambia
Amini amini ujumbe mpya
Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Ijapo ningekuwa maskini, ijapo ningekuwa mkosaji
Neno la furaha la Mwokozi, linao uzima

Amini Amini nakwambia
Amini amini ujumbe mpya
Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Amini Amini nakwambia
Amini amini ujumbe mpya
Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Na sina shaka nitamwamini,yeye ajaye kwake hatupwi
Amwaminiye tuma habari, tunao uzima

Amini Amini nakwambia
Amini amini ujumbe mpya
Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Amini Amini nakwambia
Amini amini ujumbe mpya
Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Lyrics Submitted by Samuel Collins Mutuli

Lyrics provided by https://damnlyrics.com/