damnlyrics.com

Amini Nakwambia

Amini Amini nakwambia

Amini amini ujumbe mpya

Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Amini Amini nakwambia

Amini amini ujumbe mpya

Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Ni Mwokozi aliyenifia,nitoke dhambini alisema

Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Amini Amini nakwambia

Amini amini ujumbe mpya

Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Amini Amini nakwambia

Amini amini ujumbe mpya

Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Dhambi zangu zilichukuliwa,deni zangu zote zililipwa

Wote waliomwamini Mwana,wanao uzima

Amini Amini nakwambia

Amini amini ujumbe mpya

Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Amini Amini nakwambia

Amini amini ujumbe mpya

Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Ijapo ningekuwa maskini, ijapo ningekuwa mkosaji

Neno la furaha la Mwokozi, linao uzima

Amini Amini nakwambia

Amini amini ujumbe mpya

Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Amini Amini nakwambia

Amini amini ujumbe mpya

Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Na sina shaka nitamwamini,yeye ajaye kwake hatupwi

Amwaminiye tuma habari, tunao uzima

Amini Amini nakwambia

Amini amini ujumbe mpya

Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Amini Amini nakwambia

Amini amini ujumbe mpya

Yeye aliye mwamini Mwana, anao uzima

Lyrics Submitted by Samuel Collins Mutuli

Enjoy the lyrics !!!