damnlyrics.com

Anita

Chorus

Anita, Anita wangu, hey lelelilei iyeeee iyee

Ei sukuma sukuma, ili siku ziende

Urudi nyumbani tuishi pamoja

Verse - Matonya

Nasikia mazoea yanatabu, leondio naamini

Tangu uondoke Anita raha nakosamimi

Ukumbuka tulilishana yamini

Kwamba mimi na wewe

Maisha milele mpaka nafukiwachini

Ni mawazo yanautesa moyo wanguAnita nielewe

Natamani uyajue ili unilindemimi

Sijajua uliwaza nini Anita

kuwa

mbali na mimi

Hata hilo nilijue ili nisaishemimi

Kama ni maradhi, mimi ndio wakonakitari

Unambie mapema ili dawa yakeniijue

Kama ni waradhii iiiiiie

Anita

Repeat Chorus

Verse - Lady Jaydee

Unajua nilikupendaa zaidi

Ila ya dunia we yalikuzidi

Nilitamani kuwa nawe zaidi

Kuliko yoyote unayemdhani

Siku zote uko safarini kuniachamimi upweke

Mimi nilikupena sana we mpenzi

Je kweli wataka kunienzi

Au unataka kunitia mi mashakani

Verse - Matonya

Siku zote nipo kama chizi, niyangu njiani naongea

Hiyo yote sababu yako anita kiliopokea

Chifu na majirani mtani wanakuulizia

Sina la kuwajibu nabaki kamachichi najililia

Waliniambia nikuache wewe

Ili mimi niishi mwenyewe

Masikio nikaziiba, vipi niishibila wewe

Wakasema hutonisamini, walahaikuniingia akilini

Gozi, gita wakapiga jua wewendio wa maishani

Anita wewe umeumbika mama

Kila upitapo nyuma malawama

Sijiwezi mtoto wa kitanga

Kwako taabani nimeshamwagamanyanga

Anita wewe umeumbika mama

Kila upitapo nyuma malawama

Sijiwezi mtoto wa kitanga kwakotaabani.

Repeat Chorus till fade

Enjoy the lyrics !!!