damnlyrics.com

Bado Nahema

Nimejifunza somo kwamba wewe bwana

Hutambua mwisho kabla ya mwanzo

Wewe ni mchakato wako kumtoa mwana kumtoa mavumbini kumketisha na wakuu

Haukurusu machozi yanitoke yanitokee bure

Hukurusu huzuni idumu ili niumie

Haukurusu mapito (lala) yanikaribishe umenipa mwisho wenye ushuhuda

Chorus

Nashindwa jinsi naamna ya kusema

Nashukuru bado nahema

Sikustahili umenitendea wema

Nashukuru kwa yako mema

Hivi nimekupa kitu gani

baba(lalalalalalalalala)

Na ninaishi leo ni neema yako yako tu(lalalalalala)

Wala si ujanja wala akili zangu (lalalalalala)

Asante baba pokea sifa(lalalalalala)

Shukrani zatiririka ndani ya moyo

Ninapotazama haya uliyonitendea

Ambayo kwa akili za kibinadamu mimi singeweza

This kind of blessings i have never seen before

Ninashukuru hukuniacha bwana ,hukuniacha bwana umenipigania mwanao

Tena nashukuru hukuniacha bwana ,hukuniacha bwana

umenivusha na mengi mwanao

Chorus

Nashindwa jinsi naamna ya kusema

Nashukuru bado nahema

Sikustahili umenitendea wema

Nashukuru kwa yako mema(lalalalalala)

Kweli hakuna kama wewe(lalalalalala)

Matendo yako ya ajabu (lalalalalala)

Eeeeeh Hayaelezeki (lalalalalalala)

asante bwana! ( lalalalalalala)

Lyrics Submitted by Vivian

Enjoy the lyrics !!!