damnlyrics.com

Bembeleza

Chorus

Hey Hey hello Ma

Laiti ungekuwa unaniona

Vile kila time nakonda nawaza

Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza

Au mi sijui bembeleza

Usinikatae utaniumiza

Nakupenda kukutenda sitowezaVerse 1

Kila time nakuangalia usoni ma

Sio kamaa nakosa neno kusema

Ulivyo ma anafanya kosa kunena

Ingawa moyo hautaki kunena tena

Wazo kichwani lina beep (kukueleza)

Ilavibaya ukinijibu (bembeleza)

Nahisi sijui bembeleza

Utakataa halafu mi utaniumizaa

Kidesign nakuangalia usoni ma

Kuna sign za kuita huko machoni ma

Kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma

Unachotaka nianze mikusema

Hapa unafanya nijione (nitashinda)

Hapa unafanya nitamke (nakupenda)

Ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausemacho machoniChorus

Hey hey hello ma

Laiti ungekuwa unaniona

Vile kila time nakonda nawaza

Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza

Au mi sijui kubembeleza

Usinikatae utaniumiza

Nakupenda kukutenda sitoweza

Hello ma

Laiti ungekuwa unaniona

Vile kila time nakonda nawaza

Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza

Au mi sijui kubembeleza

Usinikatae utaniumiza

Nakupenda kukutenda sitoweza

Verse 2

Kati yetu imetawala rangi ya pinki

Kitu ambacho moyoni siridhikii

Nacho kuomba tuwe zaidi ya marafiki

Inajionyesha machoni unaafiki

Lugha ya macho kwa sasa (nakataa)

Tataka tuongee ilitufikie (mwafaka)Kwenye party ulikuja umependeza

Kwenye traini ukaniomba mi kucheza

Tukadance na macho umelegeza

Ulinibamba nikaficha kukueleza

Unanimaliza, mimi ninakweleza, Ninakupembeleza,

Baby please baby gal

Vile unatamka, wewe kuona nataka, Tuonge ana kwa ana,

Baby please baby galBridge

We Dada mi unaniumiza

We dada sijamaliza

Unakata simu

Please usikate maChorus

Hey hey hello ma

Laiti ungekuwa unaniona

Vile kila time nakonda nawaza

Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza

Au mi sijui kubembeleza

Usinikatae utaniumiza

Nakupenda kukutenda sitoweza

Hello ma

Laiti ungekuwa unaniona

Vile kila time nakonda nawaza

Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza

Au mi sijui kubembeleza

Usinikatae utaniumiza

Nakupenda kukutenda sitoweza

Enjoy the lyrics !!!