damnlyrics.com

Dar mpaka moro

Haayaaaaaa!

Haaaayaaaaa!

Mshikaji wangu YP skiaa

Kuna mtoto mmoja nimemzimiaa

Anasema nimfuate Moro,

Kule wanakotoka Wapogoro

Yepo Nina sije, yeponi na sije

Tukimfuata tutaonekana wadhaifu!

Wee unaonaje, wee unachukuliaje

Kama vipi mtoto hatoshuka Dar?

Anasema kuja Dar hatoweza

Kwa nini??

Anahofia wazazi kumgombeza

Hiyo yote sababu yupo skuli

Akimaliza mbona itakua shwari

Usijifanye una uhakika wee Chege

Isije ikaonekana si ni mabwege

Labda twajichanganya

Na sisi hatuna kitu itakuaje?

Mtoto mambo safi kwao kuna noti

Kwenye shavu,noma cheki mtoto blue band

Mtoto safi kwenye friji kila kitu hakikosi

Figa nayo freshi ukicheki mikosi

Bas kama vipi basi chege twende Moro

Haaayaaaa!

Haina noma YP bas twende Moro

Haaayaaaa!

Chorus

Hamna noma baby nitakuja Moro

Nisubiri kwanza niongee na masela

Kama kunaendeka nijue, kama hakwendeki nijue

Wapi? Dar mpaka Moro x2

Kuna nini wanangu?

Na nyie kwa akili sio siri mmekithiri

Juzi mlikua Mbeya, Jana mkaenda Iringa

Leo tena twende Moro, kuna ninii? Mmh!

Haina noma kule kila kitu mwake

Hakuna shida vinywaji lazima update

Kila kitu mwake

Nauli iko wapi

Mi hapa sina hata bati

Na kutafutia wapi

Sio kama sitaki eeh

Kule kila kitu safi kuhusu kesho

Naona tunachelewa tufanye upesi

Ah Sio kihivo sio kihivo wewe

Hamnitoi hapa kiurahisi

Japo Moro nimepamisi

Sio kama nawadisi

Nyi mnacheza na madem was SKU izi

Mtapigwa changa kwa huo mwendo wenu wa kujimwaga

Mtachezewa mchezo muone dunia ngumu

Haki ya mungu

Msione wamependeza

Wamebugia vya dunia

Mtakuja kujutia eh

Mi mi mi mi mi simo!!

Chorus x2

Enjoy the lyrics !!!