damnlyrics.com

Huniachi (feat. Gloria Muliro)

Umeniahidi wewe Bwana;

huniachi

hadi mwisho wa dahali ulisema;

huniachi

wewe ni Mungu uliyemwaminifu siku zote

mimi naiweka imani yangu kwako bwana

Nipitiapo maji mengi au moto;

huniachi

Unayejua jina langu ewe bwana;

huniachi

Unatengeneza njia hata mito kule jangwani

Wewe ndiwe Alpha na Omega;

huniachi

Uliwalinda Waisraeli kule jangwaani

Ukamtoa Danieli kutoka tundu la simba

Wewe hunainua na wanyonge siku zote

Watuepusha na hatari kila siku

Usifiwe

Baba hata mama wanaweza kunikataa

Marafiki nao wanaweza nigeuka

Mara kwa mara maadui wanizunguka

Nitaishi kwa ahadi yako Bwana

huniachi, huniaachi

Lyrics Submitted by EDNA SARAH

Enjoy the lyrics !!!