damnlyrics.com

Jamila

JAMILA LYRICS

Verse 1

Muda Mrefu Jamila hatuonani

Penzi gani imekuleta kwangu nyumbani

Karibu nikupe kiti,Unielezee nini mama

Jamila alipokaa aka'anza kulia

Oh nakushindwa kuongea

Ata mimi mwenyewe nikaumia kumouna akilia

Chorus 2x

Jamila analia, bwana wake amemuwacha

Jamila analia, bwana wake amemutupa

Verse 2

Jamila aliponza kuongea

Aliongea na maumivu mingi

Navile aliku anaongea

Nikamuonea uruma

Ati walianza penzi bora

Siku zingine harudi nyumbani

Kumuuliza kama amepata mwengine

Akamfungia virago

Repeat Chorus 2x

Verse 3

Sijui nitamsaidiaje

Jamila nimwambie afanyeje

Nitamupa Kitanda chakula akule

lakini mambo ya mapenzi mimi naogopa

Zamani mimi nae tulishindana

Nikapata muke akapata bwana

Sasa analia Jamila nifanyaje lyrics from museke.com

Jamila sijui nimwambie afanyeje Eh!

Repeat Chorus 3x

Repeat Verse 1

Lyrics Submitted by Symon Enoth

Enjoy the lyrics !!!