Chorus
Kando ya mito ya Babeli ndipo tulipoketi,
Tukalia tupoikumbuka Sayuni,
Katikati ya miti tulivitundika vinubi vyetu,
Tukaishi kwa mateso mingi shidaa, (Babeli)X2
1.{ Walitaka tuwaimbie, nyimbo za Sayuni>x2 2. Akatutoa Babeli kwenye mateso na dhiki oo, Lakini badi wenzetu wengine wameng'ang'aniaa, Babeli x2, matesoni>x2 3. Watu wako oo, waangamia Babeli. >x2 (Oo Sayuni) [(Sayuni kuna raha tele x2), Njoo uone raha ya Sayuni. (Wewe uliye) (Wewe uliyebabeli x2) Njoo uone raha ya Sayuni. (Dhambi dhambi oo) (Dhambi unayoiona ndogo oo, itakuangamiza, jihanamu x2) ]x2 Lyrics Submitted by Henry
Enjoy the lyrics !!!