damnlyrics.com

Kuliko Jana (feat. Aaron Rimbui)

Chorus (Bién Aime):

Bwana ni mwokozi wangu, tena ni kiongozi wangu

Ananipenda, leo, kuliko jana

Baraka zake hazikwishi, si kama binadamu habadiliki

Ananipenda leo kuliko jana

Kuliko jana, kuliko jana

Yesu nipende, leo, kuliko jana

Kuliko jana, kuliko jana

Yesu nipende, leo, kuliko janaVerse 1 (Bién Aime):

Si nakuomba Mungu awasamehe,

Wangalijua jinsi unavyonipenda mimi wasingenisema

Na maadui wangu, nawaombe, maisha marefu, wazidi kuona ukinibariki.

Ujue binadamu, ni waajabu sana

Walimkana Yesu mara tatu, kabla jogoo kuwika

Ujue binadamu, ni waajabu sana

Walimsulubisha Yesu Messiah, bila kusitaChorus (Bién Aime):

Bwana ni mwokozi wangu, tena ni kiongozi wangu

Ananipenda leo kuliko jana

Baraka zake hazikwishi, si kama binadamu habadiliki

Ananipenda, leo, kuliko jana

Kuliko jana, kuliko jana

Yesu nipende, leo, kuliko jana

Kuliko jana, kuliko jana

Yesu nipende, leo, kuliko janaBridge (Savara and RedFourth):

Wewe ndio nategemea, kufa kupona baba nakutegemea

Chochote kitanikatsia, kuingia mbinguni utaniondolea (oooh oooh yeah)

Wewe ndio nategemea, (amen) kufa kupona baba nakutegemea (oh oh)

Chochote kitanikatsia, kuingia mbinguni utaniondolea (wewe, ndio nategemea)

Wewe ndio nategemea, kufa kupona ndio nategemea (Eh bwana)

Chochote kitanikatsia, kuingia mbinguni utaniondolea (Eh, maisha yangu yote)

Wewe ndio nategemea, (kwa nguvu zangu zote), kufa kupona baba nakutegemea (nakutegemea)

Chochote kitanikatsia, kuingia mbinguni utaniondolea (oooooooh)Chorus (Chimano):

Bwana ni mwokozi wangu, tena ni kiongozi wangu

Ananipenda, leo, kuliko jana

Baraka zake hazikwishi, si kama binadamu habadiliki

Ananipenda, leo, kuliko jana

(plus rest of Sauti Sol)

Kuliko jana, kuliko jana

Yesu nipende leo mimi kuliko jana

Kuliko jana, kuliko jana

Yesu nipende leo mimi kuliko janaBridge (RedFourth):

Wewe ndio nategemea (wewe), kufa kupona baba nakutegemea (wewe)

Chochote kitanikatsia (uh-huh), kuingia mbinguni utaniondolea

Wewe ndio nategemea (oooh), kufa kupona baba nakutegemea (nakutegemea)

Chochote kitanikatsia kuingia mbinguni utaniondoleaChorus (Chimano):

Bwana ni mwokozi wangu, tena ni kiongozi wangu

Ananipenda, leo, kuliko jana

Baraka zake hazikwishi, si kama binadamu habadiliki eh

Ananipenda, leo, kuliko jana.

Song Discussions is protected by U.S. Patent 9401941. Other patents pending.

Enjoy the lyrics !!!