damnlyrics.com

Lina Heri Jina

Heri Jina

Heri jina, Jina Yesu

Lina heri jina, ninapolitaja

Lina heri kuliko, dhahabu na fedha

Jina Yesu liko juu, ya majina yote

Heri jina, Jina Yesu

Lina heri jina, ninapolitaja

Lina heri kuliko, dhahabu na fedha

Jina Yesu liko juu, ya majina yote

Nikiandamwa na maadui

Naliita jina hilo

Ninapopigwa pande zote

Nakimbilia jina hilo

Ni ngome yangu imara

Nimefichwa ni salama

Ni ngome yangu imara

Nimefichwa ni salama

Heri jina, jina la Yesu

Lina heri jina, ninapolitaja

Lina heri kuliko, dhahabu na fedha

Jina Yesu liko juu, ya majina yote

Heri jina, jina Yesu

Lina heri jina, ninapolitaja

Lina heri kuliko, dhahabu na fedha

Jina Yesu liko juu, ya majina yote

Ninachoomba ninapewa

Katika jina hilo

Nimetendewa mambo makuu

Katikati jina hilo

Jina pekee lenye nguvu

Nikiliita ni salama

Jina pekee lenye nguvu

Nikiliita ni salama

Heri jina, jina Yesu

Lina heri jina, ninapolitaja

Lina heri kuliko, dhahabu na fedha

Jina Yesu liko juu, ya majina yote

Heri jina, jina Yesu

Lina heri jina, ninapolitaja

Lina heri kuliko, dhahabu na fedha

Jina Yesu liko juu, ya majina yote

Nina neema ya kusimama

Katika jina hilo

Nimefunikwa kwa haki yake

Katika jina hilo

Msaada wangu wa karibu

Nakimbilia ni salama

Msaada wangu wa karibu

Nakimbilia ni salama

Heri jina, jina Yesu

Lina heri jina, ninapolitaja

Lina heri kuliko, dhahabu na fedha

Jina Yesu liko juu, ya majina yote

Heri jina, jina Yesu

Lina heri jina, ninapolitaja

Lina heri kuliko, dhahabu na fedha

Jina Yesu liko juu, ya majina yote

Jina Yesu

Ngome imara

Jina Yesu

Mapito salama

Heri jina, jina Yesu

Lina heri jina, ninapolitaja

Lina heri kuliko, dhahabu na fedha

Jina Yesu liko juu, ya majina yote

Heri jina, jina Yesu

Lina heri jina, ninapolitaja

Lina heri kuliko, dhahabu na fedha

Jina Yesu liko juu, ya majina yote

Enjoy the lyrics !!!