It’s an African boy
With an African queen
In an African tune…….
Ooooohhhhhhh….oooohhh…Malaika….
Sweet banana, bread and butter
You’re the King
You’re the queen…
Chorus
Wewe ni Malaika,
Code C on the keyboard,
Got a beautiful voice,
Water in the desert,
Sweet banana,
Bread and butter,
Maisha yangu…nakupa yote,
Mimi na wewe…mpaka kifo,
Kote twayenda…mimi na wewe,
Akuna wakututeganisha….
Akuna wakututeganisha….
Verse I [part one_male]
Mubonna benzize ndaba,
Wabula sikulabanga,
Neyonna gyenzize mpita,
Baby sikulabanga,
Nakwagala,
Oli mulungi,
Oli wampisa,
Oliwa……oliwa….
Ntwala ewammwe,
Ondage mummy,
Eyakukuza…nakuwa byonna,
Ntwala ewammwe,
Ondage mummy,
Eyakukuza…nakuwa byonna,
Verse ii [part two_female]
Na minakupenda,
Kipenzi kyangu,
Popote utakapo,
Ni takupeleka,
Kuona mama,
Na ndugu zangu,
Waka kufaham,
Tukayende wote,
Iwe katika raha,
Iwe katika shida,
Sababu..ni nakupenda,
Sababu..ni nakupenda,
Chorus
Wewe ni Malaika,
Code C on the keyboard,
Got a beautiful voice,
Water in the desert,
Sweet banana,…[sweet banana]
Bread and butter,
Maisha yangu…nakupa yote,
Mimi na wewe…mpaka kifo…[mimi na wewe]
Kote twayenda…mimi na wewe,
Akuna wakututeganisha….
Akuna wakututeganisha….
Outro
Oliwa…………nakwagala
Oliwa…………oli mulungi
Oliwa…………oli wampisa
Iwe katika raha,
Iwe katika shida,
Sababu……tunapendana
Sababu……tunapendana
Lyrics Submitted by MASH LANDA