damnlyrics.com

Malaika

Malaika, nakupenda Malaika

Malaika, nakupenda Malaika

Ningekuoa mali we, ningekuoa dada

Nashindwa na mali sina we

Ningekuoa Malaika

Nashindwa na mali sina we

Ningekuoa Malaika

Pesa zasumbua roho yangu

Pesa zasumbua roho yangu

Nami nifanyeje, kijana mwenzio

Nashindwa na mali sina we

Ningekuoa Malaika

Nashindwa na mali sina we

Ningekuoa Malaika

Kidege, hukuwaza kidege

Kidege, hukuwaza kidege

Ningekuoa mali we, ningekuoa dada

Nashindwa na mali sina

We Ningekuoa Malaika

Nashindwa na mali sina

We Ningekuoa Malaika

Malaika, nakupenda Malaika

Malaika, nakupenda Malaika

Ningekuoa mali we, ngekuoa dada

Nashindwa na mali sina we

Ningekuoa Malaika

Nashindwa na mali sina we

Ningekuoa Malaika

---

Lyrics powered by lyrics.tancode.com

written by FADHILI WILLIAM

Lyrics © THE BICYCLE MUSIC COMPANY

Enjoy the lyrics !!!