damnlyrics.com

Moto Umewaka

Mungu alituma kwangu nguvu zake;

Niwekwe kila saa na neema yake;

Damu ilitoka pamoja na roho

Moto wa upendo unachoma moyo

Moto umewaka, moto umewaka

Moto wa Mungu moyoni umewaka

Roho ameshuka nafurahi sasa

Moto wa Mungu moyoni umewaka.

Mbele ya msalaba, najitoa sasa;

Na niwe saadaka kwa Bwana daima;

Gharama ya dhambi, Yesu alilipa;

Na juu ya sadaka moto unawaka.

Ahadi ya Bwana, sasa naishika;

Kwa neema Yake, nikakubaliwa;

Utukufu wote, ni kwa Bwana Mungu;

Moto wa upendo unawaka kwangu.

Mooto umewaka leo

Mooto ni kazi ya Mungu

Mooto umewaka leo

Tuimbe hallelluya moto umewaka

Watu wote waimbe...moto umewaka

Na wa mama waimbe..moto umewaka

Na wakenya waimbe..moto umewaka

Mooto umewaka leo

Mooto ni kazi ya Mungu

Mooto umewaka leo

Tuimbe hallelluya moto umewaka

Lyrics Submitted by Favour Mwamburi

Enjoy the lyrics !!!