damnlyrics.com

Mpaka Kuchee (feat. Diamond & Ay)

Diamond

Guantalamelaah!

Ohh Guantalamelaah!

Guantalamelaa

:Chidi

Mzee mzima, who got the key to my beamer!

Leo mpaka mama pima amezima

Kitu kikali, makali wembe vikali

Kemikali mwaga tembe

Bamzigi bamzigi yeah

Chidi benz dully sykes la familia

Mikono hewani watu yeah ah eh

Baishoo cheza kibega wakatae

I got ki'ching got kijuu got ki whoo haaa!

Ka kininja naruka nakutua

Ile michezo tunaitambua, ila tunauchubua

Tunaendelea na mbele inakua

We wacha kuzingua, tutakufunua

Mamii achana nao , nanikamate nizungushe!

Ahh leo yaani mpaka ususe, mpaka ususe

Hainaga kulala

Na tena yaani

Mpaka kuche mpaka kuche Tandale na Ilala

Ahh leo yaani mpaka ususe, mpaka ususe

Hainaga kulala

Na tena yaani

Mpaka kuche mpaka kuche Tandale na Ilala.

Lyrics Submitted by MAG

Enjoy the lyrics !!!