damnlyrics.com

Mshukuru Bwana

Mshukuru bwana ni mwema,

Fadhili zake za milele

mshukuru bwana ni mwema,

fadhili zake za milele

israel naseme sasa

fadhili zake za milele

israel naseme sasa

fadhili zake za milele

mlango wenu ni waseme

fadhili zake za milele

mlango wenu ni waseme

fadhili zake za milele

wamchao bwana na waseme

fadhili zake za milele

wamchao bwana na waseme

fadhili zake za mulele

ya kwamba

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

haleluiya lisifuni jina la bwana

fadhili zake za milele

enyi watumishi wa bwana sifuni

fadhili zake za milele

msifuni bwana kwa kuwa ni mwema

fadhili zake za milele

liimbieni jina lake lapendeza

fadhili zake za milele

bwana amefanya kila lililompendeza

fadhili zake za milele

katika mbingu na katika nchi

fadhili zake za milele

katika bahari na vilindi vyote

fadhili zake za milele

mshukuruni mungu wa miungu

fadhili zake za milele

mshukuruni bwana wa mabwana

fadhili zake za milele

peke yake afanya maajabu

fadhili zake za milele

alifanya mbingu kwa fahamu zake

fadhili zake za milele

alitangaza nchi juu ya maji

fadhili zake za milele

aliye fanya mianga mikubwa

fadhili zake za milele

jua litawale mchana

fadhili zake za milele

mwezi na nyota usiku

fadhili zake za milele

tuseme

fadhili zake za milele

tuseme

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

tuseme

fadhili zake za milele

tuseme

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

haleluiya nafsi yangu msifu bwana

fadhili zake za milele

bwana ni mwema kwa watu wake wote

fadhili zake za milele

aliye igawa bahari ya shamu

fadhili zake za milele

kawavusha israel katikati yake

fadhili zake za milele

kamwangusha farao na jeshi lake

fadhili zake za milele

aliwaongoza watu wake jangwani

fadhili zake za milele

mshukuruni bwana ni mwema

fadhili zake za milele

katukumbuka kwa unyonge wetu

fadhili zake za milele

katuokoa na watesi wetu

fadhili zake za milele

kila chenye mwili akipa chakula

fadhili zake za milele

mshukuruni mungu wa miungu

fadhili zake za milele

yeee, kwa maana

fadhili zake za milele

kwa maana

fadhili zake za milele

kwa maana

fadhili zake za milele

kwa maana

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

ya kwamba

fadhili zake za milele

Lyrics Submitted by EMMANUEL SIMYU

Enjoy the lyrics !!!