damnlyrics.com

Natamani Nikuone

eeeeh lalalalala uuuu baba mmmmm

mengi nimeshasikia, uliyoyatenda, mengi hata nami pia, naweza shuhudia, katika siku za giza, wewe umenituliza, nimepenya kwenye Giza, umenimulikia njia

bridge

nikusujudie, nikuinamie, niseme nawe, niushike mkono wako ewe oh, nitembee nawe

chorus

natamani nikuone eee, ndo tamaa ya moyo wangu na nafsi yangu*2

nitakuwa nimetayarisha sadaka nikupe, na sauti nimenyorosha na malaika niimbe, sadaka za sifaaa he he, naomba pokeaaaaa,sauti napaza napazaaaaaaa, naomba sikiaaaaa

bridge

chorus

natambua mimi dhaifu, kama Musa navua viatu vyangu, nikaribie utakatifu wakoooo, nimeoshwa na hiyo damu (umekuwa mwema*8)

Lyrics Submitted by Esther Gathoni

Enjoy the lyrics !!!