damnlyrics.com

Ndani ya club

Niko ndani ya club like

Niko ndani ya club like, niko na chriss na

mose fedha, nami na mabinti na..

DJ D-White anapiga retrack

hakuna anayekaa, wote tunaruka

niko club, mi na honey, tuna'dance

watu wamejaa, na watu wana furaha

twende ma, twende ma usifunge breki

twende down, twende down, jinyonge kama snake

leo uko nami, wasikusumbue

si ni ma VIP wasitusumbue

leo nataka nikupe kile unachotaka

hata gari utapata tukirudi zetu home

tusisahau na alcohol, raha tu usiku huu

N'gwair

KIITIKIO

Niko ndani ya club like, niko na chriss na

mose fedha, nami na mabinti na..

DJ D-White anapiga retrack

hakuna anayekaa, wote tunaruka

Nipo ndani ya club like

VERSE 2:

kwenye seat, tumekaa tunapata drink

rangi yake, ya kung'aa ndio inaniua mi

sipatii ghetto, kukaa na huyu binti

kwani ye, ni kifaa sijaona mi

pamba alizovaa, sijui niseme nini

ma'superstar wanashangaa, huyu queen yuko nami

maduu wamekiri, matozi wamedata

mpaka six in the morning, ni mwendo wa Tusker!

oh oh oh ohhh

huyu mami, yaani ni mkali, ana sexy body

oh oh oh ohhh

Mentali, najivinjari

ukinikuta ndani ya club!

KIITIKIO

Niko ndani ya club like, niko na chriss na

mose fedha, nami na mabinti na..

DJ D-White anapiga retrack

hakuna anayekaa, wote tunaruka

Niko ndani ya club like, niko na chriss na

mose fedha, nami na mabinti na..

DJ D-White anapiga retrack

hakuna anayekaa, wote tunaruka

UBETI WA TATU

mami

natoa holla nakucheki kwenye corner

umekaa ulivyovaa mi mwenyewe nabaki like uhh

its ok usikonde, usichoke, tuwe wote usiondoke

unavyo'shake like uhh

jinsi unavyokata

mzee mzima ndo nazidi tu kudata

its all rule baby sema unachotaka

usione hatari kwangu vyote utapata

wala usiwe na shaka

nataka ugundue, ujue utambue

utanue na mimi, kwa ulimi nichimbe madini like uhhh

kwenye floor kisha kwenye kitanda

vumilia kinanda, nikihesabu hizo shanga, c'mon

we kwangu ni wa pekee na..

penzi lako tamu na..

usisahau kuniachia your number

and your name oh..

demu sio siri unanipa starehe

na wiki ijayo nitafurahi we can do it again

Niko ndani ya club like, niko na chriss na

mose fedha, nami na mabinti na..

DJ D-White anapiga retrack

hakuna anayekaa, wote tunaruka

Niko ndani ya club like, niko na chriss na

mose fedha, nami na mabinti na..

DJ D-White anapiga retrack

hakuna anayekaa, wote tunaruka

east zoo utatutaka, uhhhh

east zoo utatutaka, uhhhh

Uh

D'White, Frida, deep money, L'Single

Water, Downtown Records, top 20Vol II

Coming Soon, Uh, holla baby

You how we do this, Ngwair, uh, yeah

Lyrics Submitted by Kanungila Karim

Enjoy the lyrics !!!