damnlyrics.com

Ngoja Nicheze

NGOJA NICHEZE

@ Bernard Mukasa

Tazama mimi ninavyopumua,

Tazama mimi nilivyo na nguvu *2

Hizo zote - ni neema bure toka kwa Mungu

Na mimi leo - ngoja nicheze muone,

Nitamsifu ngoja nicheze muone,

Bila kuchoka - ngoja nicheze muone aee

Tazama mimi nakula na kushiba,

Tazama mimi nalala nasinzia

Tazama naamka mimi mwenyewe e,

Tazama tazama ah tazama aa aha

Tazama mimi naweza kuongea,

Tazama mimi naimba bila shida

Tazama naweza kucheza mwenyewe e

Tazama tazama ah tazama aa aha

Nikiugua ona napewa pole,

ninapofiwa ndugu mwanifariji

Tazama niwapo na shida wanajaa a

Tazama tazama ah tazama aa aha

Nikikosea huwa nasamehewa,

Nikiudhiwa ndugu mwanitetea

Tazama dhuluma haitaniua a

Tazama tazama ah tazama aa aha

Nikifurahi ndugu washerehekea,

Nikiudhiwa ndugu wasononeka

Tazama ninaishi kati ya watu u

Tazama tazama ah tazama aa aha

Na yote haya najaliwa na Mungu,

Amenipenda upeo wa upendo

Tazama na mimi nitamtukuza a

Tazama tazama ah tazama aa aha

Lyrics Submitted by Evans

Enjoy the lyrics !!!