damnlyrics.com

Nimekubali

NIMEKUBALI LYRICS BY EUNICE NJERI

(CHORUS)

Nimekubali nasema ndio Bwana ,

kwako ni salama nasema ndio

Nimekubali nasema ndio Bwana,

najitoa dhabihu iliyo hai Bwana nitumie

Bwana anatafta watakaomwabudu kwa roho na kweli

Na wakati ndio huu naamini umefika

Nisaidie kutenda kulingana mapenzi yako Kutembea na maagizo yako moyoni mwangu ×2

(CHORUS)

Mimi ni chombo mikononi mwako Yahweh Tena ni udongo na wewe mfinyazi Baba, nifinyange; nitengeneze

Uishe nafsi yangu

chochote utakacho mimi nitatenda ×2

(CHORUS)

Oooh niumbie, niumbie moyo safi,

ili niweze kukutukuza Bwana

nitengeneze kwa ajili ya jina lako

Baba Wala usinitenganishe na uwepo wako

Mimi Bwana eeeh nimekubali

njia zako baba

Nasema ndio kwako baba

(CHORUS)

Lyrics Submitted by Njeri steven

Enjoy the lyrics !!!