damnlyrics.com

Nimepakwa

Tazama,

Nimepewa nguvu mamlaka

Ya kukanyanga nguvu za giza

Tena nimejazwa na roho mtakatifu

Nimo ndani yake, Yesu ndani yangu

Walio upande wangu

Ndio wengi kuliko maadui

Siwezi shindwa, siwezi zimia.

Walio upande wangu

Ndio wengi kuliko maadui

Siwezi shindwa,siwezi zimia.

chorus

Nimepakwa mafuta mabichi

Pembe yangu umeiinua

Ndio maana Nina uhakika

Nitashinda,Mimi ni mshindi.

Nimepakwa mafuta mabichi

Pembe yangu umeiinua

Ndio maana Nina uhakika

Nitashinda, Mimi ni mshindi

Nimepakwa mafuta mabichi

Pembe yangu umeiinua

Ndio maana Nina uhakika

Nitashinda, Mimi ni mshindi

Tazama,

Nimepewa nguvu mamlaka

Ya kukanyanga nguvu za giza

Tena nimejazwa na roho mtakatifu

Nimo ndani yake Yesu ndani yangu

Walio upande wangu, ndio wengi kuliko maadui

Siwezi shindwa siwezi zimia

Walio upande wangu ndio wengi kuliko maadui

Siwezi shindwa (siwezi)

chorus

Nimepakwa mafuta mabichi

Pembe yangu umeiinua

Ndio maana Nina uhakika

Nitashinda Mimi ni mshindi

Nimepakwa mafuta mabichi

Pembe yangu umeiinua

Ndio maana Nina uhakika

Nitashinda Mimi ni mshindi

Nimepakwa mafuta mabichi

Pembe yangu umeiinua

Ndio maana Nina uhakika

Nitashinda Mimi ni mshindi

Nimepakwa mafuta mabichi

Pembe yangu umeiinua

Ndio maana Nina uhakika

Nitashinda Mimi ni mshindi

Nitashinda Mimi ni mshindi

Nitashinda Mimi ni mshindi

(Nitashinda mimi)

Nitashinda mimi ni mshindi

Umepakwa (You're anointed with fresh oil, do you believe that? That's what He says)

Tazama,

Umepewa nguvu mamlaka

Ya kukanyanga kanyanga kanyanga kanyanga guvu za giza

Tena umejazwa na roho mtakatifu

Yuko ndani yako Yesu ndani yako

Walio upande wako, ndio wengi maadui

Hauwezi shindwa uwezi zimia

Wanao kuzingira ni wengi

Hauwezi shindwa uwezi zimia

Lyrics Submitted by Faith Emma

Enjoy the lyrics !!!