Eeeh oooh wowowooo
Hatua za mwenye haki za ongozwa naye bwana
Na bwana hufurahia njia zake wakati wote ×2
Nakukabidhi bwana njia zangu zote pia nakutumaini najua bwana
Utafanya hata nijapojikwaa sitaanguka
Chini bwana utanishika na kunitegemeza ×2
Instrunmental
Eehh haleluya wewe bwana wewe bwana bwana nimegusa
Mkono wako wafanya siri kwa ndani yangu haleluya haleluya
Mwangazie mtumishi wako uso wako mana ninayatamani maagizo
Yako elekeza hatua zangu kwa neno lako uovu usije ukanimiliki ×2
(Ee bwana naomba) ongoza hatua zangu ee bwana
Ee bwana ongoza mwendo wangu ee bwana ee bwana
(Ee bwana naomba) ongoza hatua zangu (niongoze) ee bwana ee
Bwana (niongoze) ongoza mwendo wangu(niimarishe) ee bwana ee bwana (
Ee bwana)...
Lyrics Submitted by Collince Ajosie
Enjoy the lyrics !!!