damnlyrics.com

Paka Mapepe

pakamapepe huyo

pakamapepe huyo

pakamapepe huyo

paka mapepe usimwandame

mapepe huyo

usimwache akujue mapepe huyo

yeye hamjue mume

mapepe huyo

mwenye fedha kwake ndume

mapepe huyo

paka mapepe usimwandame

mapepe huyo

usimwache akujue mapepe huyo

yeye hamjue mume

mapepe huyo

mwenye fedha kwake ndume

mapepe huyo

akinenda msukume

tena asikusagame

mkomeshe akukome

abaki alalame

mabibi mimi niko

siku zote mume wako

hamtoi mtu kwako

fanya ufanyavyo fanya

umweke umwekavyo

nilikwisha kukukanya

huyo siwakuridhika

huyo atachanganya

huyo atachanganya

kina shangazi na kaka

tena akisha atapenya

tena kisha atapenya

na baba atamtaka

atafanya anakofanya

mwisho atakasirika

atafanya anakofanya

mwisho atakasirika

hafai huyo hafai

kwangu mimi nikurai

hafai huyo hafai

kwangu mimi nikurai

paka huyo paka paka mapepe paka

umpe kuku na bata mwisho hatatosheka

umpe jambo geni huyo paka

atakushukuru huyo paka

atakutoroka huyo paka

akimwona panya huyo paka

Lyrics Submitted by misslee

Enjoy the lyrics !!!