damnlyrics.com

Pwani Yenye Dhahabu

Pwani yenye dhahabu safi (sana)

Ambayo yapaka kioo

Bwana amewatengenezea (wote)

Ambao watavumilia x2

Pwani yake ni safi kiroho kiroho safi

Nisafi safi sana kiroho kiroho safi x2

Tutaimba wimbo wimbo wa Musa (wote)

Na wimbo wa mwana kondoo

Tutaimba kwa shange kubwa (kweli)

Musa na BWana Wa majeshi x2

Pwani yake ni safi kiroho kiroho safi

Nisafi safi sana kiroho kiroho safi x2

Kutakua hakuna njaa (huko)

Kwani Bwana atawashibisha

Kutakua hakuna Giza (kwani)

Nuru ya Kristo itang'aa

Lyrics Submitted by Emmanuel Kabushi

Enjoy the lyrics !!!