damnlyrics.com

Si Njia Rahisi

Si njia rahisi

Ya kwenda mbinguni

Miiba mingi safarini

Ooh! uooh!

Si njia rahisi

Lakini ninaye

Mwokozi aliyenifia

Woh! uoh! uoh! uoh! yeh!

Laaa

La si njia rahisi

La la,

La la si njia rahisi

Kutembea na yesu

Kuongoza safari

Mazito huyalahisisha

Si njia rahisi

Mashaka ni mengi

Mapigo nayo majaribu

Vikwazo viko tele

Lakini najua mwokozi yu pamoja nami

Oooh! oooh

La la

Si njia rahisi

Kutembea na yesu

Kuongoza safari

Mazito huyalahisisha

Najipa moyo hima

Mwokozi aweza ×2

Kunishindia haya yote

Tashinda kwa imani

Amenitangulia

Nayaweza mambo yote kwake

Yeh! yeh! ooh!

La la

Si njia rahisi ×2

Kutembea na yesu

Kuongoza safari

Mazito huyalahisisha

Halelluyah

Kutembea na yesu

Kuongoza safari

Mazito huyalahisisha

Lyrics Submitted by Asira

Enjoy the lyrics !!!