damnlyrics.com

Sina Makosa

hasira za nini wee bwana

hasira za nini wee bwana

wataka kuniua bure baba

wataka kuniua bure babayule si wako

nami si wangu

chuki ya nini kati yangu

mimi na wewe

chuki ya nini kati yangu

mimi na wewehasira za nini wee bwana

hasira za nini wee bwana

wataka kuniua bure baba

wataka kuniua bure babakwako hayuko

kwangu hayuko

chuki ya nini kati yangu

mimi na wewe

chuki ya nini kati yangu

mimi na wewehasira za nini wee bwana

hasira za nini wee bwana

wataka kuniua bure baba

wataka kuniua bure babawewe una wako nyumbani

nami nina wangu nyumbani

chuki ya nini kati yangu

mimi na wewe

chuki ya nini kati yangu

mimi na wewenasema sina makosa wee bwana

sina makosa wee bwana

sina makosa wee bwana

sina makosa wee bwana

Enjoy the lyrics !!!