damnlyrics.com

Sura Yako

Nimekuchagua wewe, nikupende

Mama, sitaki mwingine

Aushi usiniache, usinitende

Mama, usipende mwingine

Moyo wangu ni mwepesi

Umenikalia chapati

Nafanya vituko kama chizi

Kukupenda sitasizi

Moyo wangu ni mwepesi

Umenikalia chapati

Nafanya vituko kama chizi,

Kukupenda sitasiziSura yako mzuri mama, aaaah

Mzuri mama ...

Na tabasamu lako maua, aaaah

Mzuri mama ...Itabidi nikulinde, nikutunze

Mama, usikose lolot

Pete nayo nikuvishe, nikuoe

Mama, usiende popote

Juu moyo wangu ushakubali

Umenikalia chapati

Nitakulinda kama polisi, Eh!

Itabidi nikumarry

Moyo wangu ushakubali

Umenikalia chapati

Nitakulinda kama polisi, Eh!

Itabidi nikumarry

Na figure yako kama ya chupa, aaaah

Mzuri Mama ...

Na sura yako mzuri mama, aaaah

Mzuri mama ...Piga dansi kidogo,

Piga da.....piga dansi kidogo,

Dansi kidogo,

Piga da.....piga dansi kidogo ...

Enjoy the lyrics !!!