damnlyrics.com

Tayari

Intro

Ladies and Gentlemen

This is your Captain speaking

Kama uko tayari

Karibu kwenye dancefloor

Jaguar, Avril, Ogopa D.J.'sChorus

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari (nimkose nikufe) Tayari (nimkose nikufe) Tayari (nimkose nikufe)

Ta-ta-ta-tayariVerse 1

Niko tayair yaani niishi na yeye

Kila kitu anachotaka nitafanya

Waseme tu vile wanavyotaka

Kwani kwake yaani mimi kwake nimefika

Namtaka yeye, niishi na yeye

Kila siku tuwe kama chanda na pete

Anishike mkono nami nimfuate

Kote aendako, nimshike mknono

Anishike mkono nami nimfuate

Kote aendako, nimshike mknono

Anishike mkono nami nimfuate

Kote aendako, nimshike mknonoChorus

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari (nimkose nikufe) Tayari (nimkose nikufe) Tayari (nimkose nikufe)

Ta-ta-ta-tayariVerse 2

Niwe ni kila siku ananidai

Nao mi naapa kukwama na yeye

Naota ndoto naona moto

Mwisho Napata (naona ndoto)

Amua ni mimi kila kitu kwangu

Mwisho isiwe nipe nikupe

Wacheke tu pale wanapocheka

Usiku mambo yawe kama kawaida

Wacheke tu pale wanapocheka

Usiku mambo yawe kama kawaida

Wacheke tu pale wanapocheka

Usiku mambo yawe kama kawaidaChorus

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari nishapata wangu ambaye ananipenda na mimi nampenda

Tayari (nimkose nikufe) Tayari (nimkose nikufe) Tayari (nimkose nikufe)

Ta-ta-ta-tayariNakuahidi ntakwama na wewe, ntakwama na wewe nakuahidi ntakwama na wewe, ntakwama na wewe

Nakuahidi ntakwama na wewe, ntakwama na wewe nakuahidi ntakwama na wewe, ntakwama na wewe

Nakuahidi ntakwama na wewe, ntakwama na wewe nakuahidi ntakwama na wewe, ntakwama na wewe

Song Discussions is protected by U.S. Patent 9401941. Other patents pending.

Enjoy the lyrics !!!