damnlyrics.com

Tulia

TULIA SARA K

Bwana Mungu asema akujuaa vemaa

Kwa ahivyo usihoofu tena.

Ajua uingiapo na hata utokapooo tuulia mbele zaake sasa.

Bwana Mungu asema akujuua vemaa kwaa hivyo usio-hofuuu tena.

Ajua uingiapo na hata utokapooo tuulia mbele zaake sasa.

Tulia x4

Naujuwe yeheye ni Mungu uuuuu

Tulia x4

Naujuwe yeheye ni Mungu

 

Upitapo katika mafurikoo yeyee atakuwa paamoja na weye.

Ukitembelea katikati ya moto tuulia hutaungua kamwe.

Tulia x4

Naujuwe yeheye ni Mungu uuuuu

Tulia x4

Naujuwe yeheye ni Mungu

Using'aang'anie wala kufikiriaa vitu na mambo yaliyopitaa

Tazama anatenda jambo jipya sasa tuliaa uone mkono wake.

(Tulia x4

Naujuwe yeheye ni Mungu uuuuu

Tulia x4

Naujuwe yeheye ni Mungu) ×3

Tulia ×3

Tulia x3

Lyrics Submitted by Nimrod Swai

Enjoy the lyrics !!!