damnlyrics.com

Uje Unisaidie

UJE UNISAIDIE

Verse 1

Uje unsaidie mwokozi na baraka

Rehema yako ni tele

Najitoa kabisa

Unifundishe kusifu... Sifa za malaika

Umejawa na upendoni upendo wa hakika.

Verse 2

Naja kwako unishike..Najitoa kabisa

Kwa mapenzi yako niwe,mwaminifu wa sifa

Nilipopotea mbali,yesu alinipata

Akaniokoa kweli kwa damu ya salama.

Verse 3

Kwako nimekua mdeni,umenipa rehema

Nisipotele mbali,unifunge kwa wema

Ni mwenye kutangatanga,ni mwenye kupotea

Uchukue moyo wangu,unifunge kwa wema

Lyrics Submitted by Daniel Shirima

Enjoy the lyrics !!!