damnlyrics.com

Unanimaliza

Abi dadiii

Unanimaliza wewe

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Penzi lako linimekolea sijiwezi darling

Unayonipa sijazoea sikuwachi honey

Penzi lako linimekolea sijiwezi darling

Unayonipa sijazoea sikuwachi honey

Ninapokuona me nataka

Ongeza manjonjo me na takataa

Sitaki mwingine we unanifaa

Tena kwa mwingine me sinoi

Unavyo touch touch kiunoo

Unaamsha amshaa yaliyomo

Unavyong'ata yako midomo, unanimaliza

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Sii yasikilizi maneno ya watu

Nimekupenda mwenyewe

Sii karibishi ya watu

Tumependana wenyewe

Tutaenda wote vitani vitani

Tutapambana siuutani utani

Mambo Ni mengi dunian duniani

Aiyayayayayah

Tutaenda wote vitani vitani

Tutapambana siuutani utani

Mambo Ni mengi dunian duniani

Aiyayayayayah

Sitaki mwingine we unanifaa

Tena kwa mwingine me sinoi

Unanimaliza touch touch kiunoo

Unaamsha amshaa yaliyomo

Unavyong'ata yako midomo unanimaliza

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee

Abii dadiii

Lyrics Submitted by janeth joshua

Enjoy the lyrics !!!