damnlyrics.com

Yesu Amefanyika Bora

Yesu amefanyika bora kupita malaika na wanadamu

Jina lake limeridhi utukufu na heshima*2

Ni yeye yuleNa miaka yake haita koma milele

Yesu ni mkate wa uzima,ndiye alpha na omega

A-mii n shahidi weteu mwaminifu,mwangalizi wa roho yangu

Yesu ndiye jua la haki, na jua litokalo mbinguni

Utukufu wake wangara,Zaidi ya nyota zote

Na siku moja,tutamuona yesu uso kwa uso*2

Yesu ndiye mwana wa mungu,anayependwa sana na mungu

Baba anamwita mwana na mwana anamwita baba

Yesuvndiyevmuzaliwa wa kwanza wake mungu baba

Baba anamuita mwana na mwana anamwita baba

Na siku moja,kila ulimi utakiri jina hili

Jina lake yesu pekee,ndilo linaweza kuokowa

Kwa jina lake yesu pekee,mapepo wanatoroka

Ni jina lake yesu pekee,ndilo laweza kukomboa

Kwa jina lake yesu pekee,magonjwa yote yanaponywa

Kwa damu yake tumemshinda, yule muovu shetani *2

Lyrics Submitted by BEN NISSI WEKESA

Enjoy the lyrics !!!