damnlyrics.com

Yesu Ni Mzuri

YESU NI MZURI Lyrics By MARTHA MWAIPAJA

STARTING:heeeeh ni mzuri wewe BABA ni mzuri mno

CHORUS

ni mzuri wewe×2 YESU wewe ni mzuri wewe

ni mzuri wewe×2 YESU wewe ni mzuri wewe

VERSE 1:

ni mzuri wewe×2 YESU wewe ni mzuri wewe

wengi wameimba uzuri wako wewe na mimi kwa sehemu naweza imba

kuna wakati tunadhani tunaishi wenyewe tu kumbe MUNGU umeshikilia maisha yetu

ni mzuri wewe×2 wewe YESU wewe kwangu mimi ni mzuri tu

CHORUS

ni mzuri wewe×2 YESU wewe ni mzuri wewe

ni mzuri wewe×2 YESU wewe ni mzuri wewe

VERSE 2:

tunajivunia wewe kumbe wewe hulali husinzii BABA kwa ajili yetu usingetutoa pale tungeangamia hakika ule ulikuwa ni mwisho wetu akili zilishindwa maarifa yalishindikana usingetutoa BABA tungeangamia ni kweli wewe BABA usipoulinda mji alindaye akesha bure umepigana kwa waliopigana nasi umetuvusha katikati ya mtego

CHORUS

ni mzuri wewe×2 YESU wewe ni mzuri wewe

ni mzuri wewe×2 YESU wewe ni mzuri wewe

VERSE 3:

Hapa ndipo tunajua thamani ya wokovu huu wokovu umetufanya tuwe salama asante BABA kwa kutuponya pale, wokovu huu BABA hatutauacha umetulinda leo umetutunza tena mioyoni mwetu BABA twakushukuru wokovu ni wa thamani wokovu ni wa thamani umetufanya tujue wewe YESU kuwa ni mzuri mno umetuponya tena umetulinda tena kwa moyo tunasema wewe ni mzuri mno si jambo rahisi sisi kuwa wazima tena ni wewe BABA umetuponya tena kwa kawaida hatuwezi simulia sana lakini wewe BABA umetuponya tena, leo tusingekuwepo tungeshasahaulika ewewe babababa umetupenda tena ni mzuri wewe ni mzuri wewe mioyoni mwetu twatambua wewe ni mzuri

CHORUS

ni mzuri wewe×2 YESU wewe ni mzuri wewe

ni mzuri wewe×2 YESU wewe ni mzuri wewe

Finishing:Ni mzuri wewe YESU,

umetukumbatia tena,ni mzuri wewe ,wetu wewe ni mzuri ,hatutakuacha yesu ,umetuokoa tena baba, ni mzuri wewe heee ni MZURI

Lyrics Submitted by Florence shoo

Enjoy the lyrics !!!